
Kwa mashabiki na wapenzi wa nyimbo za asili bila shaka watakuwa wamesikia taarifa za kuugua sana na wengine hata kusikia uzushi wa kuhusu kifo cha Msanii Maarufu wa Nyimbo za asili Juma Marco kutoka Kahama mkoani Shinyanga... Sasa leo Msanii Juma Marco ameamua kuwaeleza mashabiki na wadau mbalimbali juu ya afya yake. Kupitia wimbo wake alioupa jina la Wazushi amezungumzia jinsi alivyohaingaika kupigania uhai wake na sasa yupo salama.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako